Friday, July 10, 2020
KAMISHNA JENERALI WA JESHI LA MAGEREZA NCHINI MEJ.JEN. SULEIMAN MZEE,TAR. 09 JULAI 2020, AMEFUNGUA MAFUNZO YA UONGOZI NGAZI YA JUU YA JESHI LA MAGEREZA,KOZI NA.01 KATIKA CHUO CHA KPF KILICHOPO KINGOLWIRA , MOROGORO.
12:06 PM
Kamishna
Jenerali Suleima Mzee akiongea na wanafunzi wa Kozi ya Uongozi Ngazi ya Juu(
hawapo pichani), mara baada ya kuwasili katika Chuo cha KPF Morogoro
Baadhi
ya wanafunzi wa Kozi ya Uongozi Ngazi ya Juu wakimsikiliza Kamishna Jenerali
Suleiman Mzee (hayupo pichani)
Baadhi ya wakufunzi wa Kozi ya Uongozi Ngazi ya
Juu wakimsikiliza Kamishna Jenerali Suleiman Mzee (hayupo pichani)
Kamishna Jenerali Suleiman
Mzee( wa pili toka kulia) akiangalia mradi wa choo cha kisasa kinachojengwa
chuoni hapo. Wa pili toka kushoto ni Mkuu wa Chuo KPF, Kamishna Msaidizi wa
Magereza Lazaro Nyanga
Mkuu wa Chuo cha KPF, Kamishna Msaidizi wa
Magereza Lazaro Nyanga(kushoto) akimuonesha Kamishna Jenerali Suleiman Mzee
moja ya miradi inayoendelezwa chuoni hapo. ( picha na Jeshi la Magereza)
Sunday, July 5, 2020
MAKATIBU MUHTASI JESHI LA MAGEREZA WAPIGWA MSASA TAREHE 04, JULAI 2020
1:37 PM
Mgeni rasmi katika semina ya makatibu muhtasi wa jeshi
la magereza (waliokaa kushoto) kamishna wa utawala na rasmali watu
CP. Uwesu Hamidu Ngarama akiwa na wawezeshaji kutoka kikolo financial solution LTD,
maafisa waandamizi wa jeshi la Magereza pamoja na washiriki wa semina Ya makatibu muhtasi.
Muwezeshaji Akitoa Mada wakati wa semina ya Makatibu Muhtasi wa Jeshi la Magereza waliokaa ni washiriki katika semina hiyo.
Pichani ni Sgt Scolastica Ndunguru akifafanua jambo wakatyi wa semina ya makatibu Muhtasi wa Jeshi la Magereza.
Picha ya Pamoja kati ya Washiriki wa semina hiyo na wawezeshaji pamoja na Viongozi waanzamizi wa Jeshi la Magereza.
Msemaji wa Jeshi la Magereza Ssp Amina Kavirondo akitoa Mada katika Semina ya makatibu muhtasi wa Jeshi la Magereza kushoto kwake ni Viongozi waandamizi wa Jeshi la Magereza. picha na Jeshi la Magereza