Thursday, July 4, 2019

JESHI LA MAGEREZA WAIBUKA WASHINDI WA JUMLA MAONESHO YA 43 YA BIASHARA YA KIMATAIFA KWA MWAKA 2019, JIJINI DAR

SABASABA2019 - Jeshi la Magereza limeibuka Mshindi wa Kwanza wa jumla(Overal Winner) kwenye maonesho ya 43 ya Biashara ya Kimataifa yanayoendelea katika viwanja vya Mwl. Nyerere jijini Dar es Salaam. Pichani ni Maafisa Washiriki kutoka Jeshi la Magereza wakiwa na tuzo hizo(Picha na Jeshi la Magereza)