Wednesday, February 19, 2020

JESHI LA MAGEREZA KUJITEGEMEA KWA KUTUMIA RASILIMALI ZAKE

Kamishna Jenerali wa Magereza, Suleiman Mzee akiongoza Kikao kazi cha siku moja cha Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Magereza,  Kikao hicho kimefanyika leo Februari 19, 2020  katika Ukumbi wa Chuo cha Mipango, Jijini Dodoma.

Baadhi ya Wakuu wa Magereza Mikoa pamoja na Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Magereza wakifuatilia kwa makini maelekezo kutoka kwa Kamishna Jenerali wa Magereza, Suleiman Mzee(hayupo pichani)katika Kikao kazi kilichofanyika leo katika Ukumbi wa Chuo cha Mipango, Jijini Dodoma.

Kamishna wa Utawala na Rasilimali watu wa Jeshi la Magereza, Uwesu Ngarama akitoa taarifa fupi katika Kikao kazi cha Maafisa Waandamizi wa Jeshi hilo kilichofanyika katika Ukumbi wa Chuo cha Mipango, Jijini Dodoma.

Wajumbe wa Sekretarieti wakifuatilia kikao kazi hicho kilichoongozwa na Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza leo Februari 19, 2020 katika Ukumbi Chuo cha Mipango, jijini Dodoma         (Picha zote na Jeshi la Magereza).