#MAAGIZO - KAMISHNA Jenerali wa Jeshi la Magereza, Suleiman Mzee amepiga marufuku mazoea ya baadhi ya Maafisa na Askari wa Jeshi hilo kulima mashamba yao, kufuga mifugo katika mazizi yanayomilikiwa na Jeshi pamoja na matumizi binafsi ya nguvu kazi ya wafungwa. #MagerezaTz
Tuesday, February 11, 2020
MAAGIZO
8:36 AM
#MAAGIZO - KAMISHNA Jenerali wa Jeshi la Magereza, Suleiman Mzee amepiga marufuku mazoea ya baadhi ya Maafisa na Askari wa Jeshi hilo kulima mashamba yao, kufuga mifugo katika mazizi yanayomilikiwa na Jeshi pamoja na matumizi binafsi ya nguvu kazi ya wafungwa. #MagerezaTz