Friday, February 28, 2020

WAZIRI SIMBACHAWENE AWATAKA POLISI KUACHA KUZALISHA MAHABUSU MAGEREZANI

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene akitoa maelekezo kwa Kamishna Jenerali wa Magereza nchini, Suleman Mzee(kulia) leo alipotembelea Makao Makuu ya Jeshi la Magereza, jijini Dodoma ikiwa ni ziara yake ya kwanza tangu ateuliwe        katika Wizara hiyo.

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene akizungumza na Maafisa na askari wa Jeshi la Magereza(hawapo pichani)leo alipotembelea Makao Makuu ya Jeshi la Magereza, jijini Dodoma ikiwa ni ziara yake ya kwanza tangu ateuliwe katika Wizara hiyo. Kushoto ni Kamishna Jenerali wa Magereza nchini, Suleman Mzee( Kulia )ni Kamishna wa Utawala na Rasilimali watu, Uwesu Ngarama.

Kamishna Jenerali wa Magereza nchini, Suleiman Mzee akitoa taarifa fupi mbele ya Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene(meza kuu katikati) kabla ya kuongea na Maafisa na askari wa Jeshin hilo. Kulia ni Kamishna wa Utawala na Rasilimali watu, Uwesu Ngarama.

Baadhi ya Maafisa na askari wa Jeshi la Magereza Mkoani Dodoma wakimsikiliza Waziri wa Mambo ya ndani ya Nchi, George Simbachawene (hayupo pichani).

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene(kulia) akitoa maelekezo kwa Kamishna Jenerali wa Magereza nchini, Suleman Mzee(wa pili toka kushoto) leo alipotembelea Makao Makuu ya Jeshi la Magereza, jijini Dodoma ikiwa ni ziara yake ya kwanza tangu ateuliwe katika Wizara hiyo.

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene(Kaunda suti) akiingia Gereza Kuu la Isanga, jijini Dodoma, leo, tayari kwa kuzungumza na Wafungwa na Mahabusu waliopo katika Gereza hilo.