Banner

Banner

Friday, October 4, 2024

CGP. KATUNGU AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA WAZIRI WA FEDHA DKT. MWIGULU NCHEMBA.


Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza (CGP) Jeremiah Yoram Katungu, Oktoba 03, 2024 ambetembelea Ofisi za Wizara ya Fedha zilizopo Jijini Dodoma, ambapo amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb).


Lengo la ziara hiyo ni kujitambulisha na kujadili masuala mbalimbali ikiwemo mipango ya maendeleo ya Jeshi la Magereza.

Kamishna Jenerali wa Magereza Jeremiah Yoram Katungu, akiagana na Waziri wa Fedha Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, mara baada ya mazungumzo yao, jijini Dodoma, Octoba 03, 2024