Friday, July 12, 2019
KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA, PHAUSTINE KASIKE AKAGUA SHAMBA LA KIMKAKATI LA MAHINDI KATIKA GEREZA LA KILIMO NA MIFUGO KITENGULE, MKOANI KAGERA
5:01 PM
Kamishna Jenerali wa Magereza( wa Kwanza kulia) akikagua
shamba la mahindi ambalo liko katika hatua za mwisho za kuvunwa la gereza
Kitengule.
Kamishna Jenerali
wa Magereza nchini, Phaustine Kasike(kushoto) akikagua ghala la kuhifadhia
chakula cha wafungwa Gereza Kitengule alipotembelea gereza hilo leo Julai 11,
2019.
Kamishna Jenerali wa Magereza nchini, Phaustine
Kasike(wa pili toka kulia) akiangalia moja ya mashine maalum inayotumika katika
upandaji wa mbegu katika mashamba ya Gereza Kitengule alipotembelea gereza hilo
leo Julai 11, 2019(Picha zote na Jeshi
la Magereza)
ZAIDI YA WAFUNGWA 640 WAMENUFAIKA NA MPANGO WA BODI YA PAROLE NCHINI KATIKA KIPINDI CHA MIAKA MITATU
4:53 PM
Kaimu Kamishna Jenerali wa Magereza, Kamishna wa
Magereza, Uwesu Ngarama(kulia) ambaye pia ni Kaimu Katibu wa Sekretarieti ya
Bodi ya Taifa ya Parole akitoa taarifa fupi kabla ya kumkaribisha Mgeni rasmi
Mwenyekiti wa Bodi ya Taifa ya Parole, Mhe. Augustino Mrema(kushoto) afungue
rasmi Kikao cha 41 cha kujadili Wafungwa waliopendekezwa kunufaika/kutonufaika
katika mpango wa Parole. Kikao hicho cha siku moja kimefanyika leo Julai 12,
2019, katika Bwalo la Maafisa Magereza, lililopo Ukonga, Jijini Dar es Salaam.
Baadhi
ya Wajumbe Sekretarieti wakifuatilia kwa makini majadiliano katika kikao hicho.
Mwenyekiti wa Bodi ya Taifa ya Parole, Mhe.
Augustino Mrema(hayupo pichani) akifungua kikao cha 41 cha kujadili Wafungwa
waliopendekezwa kunufaika/kutonufaika katika mpango wa Parole.
Mwenyekiti
wa Bodi ya Taifa ya Parole, Mhe. Augustino Mrema(meza kuu) akiongoza Kikao cha
41 cha Bodi hiyo.
Wajumbe wa Bodi ya Taifa ya Parole wakifuatilia
majadiliano ya wafungwa waliopendekezwa kunufaika/kutonufaika katika mpango wa
Parole leo Julai 12, 2019, katika Bwalo la Maafisa Magereza, lililopo Ukonga,
Jijini Dar es Salaam.(Picha zote na Jeshi la Magereza).
Thursday, July 4, 2019
JESHI LA MAGEREZA WAIBUKA WASHINDI WA JUMLA MAONESHO YA 43 YA BIASHARA YA KIMATAIFA KWA MWAKA 2019, JIJINI DAR
9:00 AM
SABASABA2019 - Jeshi la Magereza limeibuka Mshindi wa Kwanza wa jumla(Overal Winner) kwenye maonesho ya 43 ya Biashara ya Kimataifa yanayoendelea katika viwanja vya Mwl. Nyerere jijini Dar es Salaam. Pichani ni Maafisa Washiriki kutoka Jeshi la Magereza wakiwa na tuzo hizo(Picha na Jeshi la Magereza)