Mojawapo ya Jukumu la Jeshi la Magereza ni kuwapeleka mahakamani mahabusu na kuwarudisha magerezani.

Gadi ya askari Wanawake na Wanaume wa Jeshi la Magereza katika Maadhimisho ya Sherehe za Kitaifa.

Ng'ombe bora wa Nyama na Maziwa ni sehemu ya miradi ya Uzalishaji inayoendeshwa na kusimamiwa na Jeshi la Magereza nchini.

Sehemu ya Mashamba makubwa yanayoendeshwa na Jeshi la Magereza: Shughuli za Kilimo cha Mashamba makubwa, madogo na bustani za mboga mboga ni moja ya shughuli za Magereza katika kuwafunza wafungwa namna ya kujitegemea mara wamalizapo vifungo vyao.

Baadhi wa wafungwa katika Kiwanda cha Ushonaji nguo cha Gereza Kuu Ukonga wakiwa kazini: Shughuli za Ushonaji wa nguo ni moja ya eneo ambalo wafungwa hupata huduma za urekebishwaji kwa vitendo.

Tuesday, October 30, 2018

SACOSS NCHINI ZAASWA KUENDELEA KUTOA ELIMU YA USHIRIKA KWA WANACHAMA


Na Lucas Mboje, Dodoma

VYAMA vya ushirika nchini vimetakiwa kuendelea kutoa elimu ya ushirika mara kwa mara kwa wanachama wake ili kujenga uelewa wakutosha kuhusu sheria, kanuni na masharti mbalimbali ya ushirika.

Akizungumza katika Mkutano Mkuu wa sita wa mwaka wa Chama cha Ushirikia wa Akiba na Mikopo cha Watumishi wa Jeshi la Magereza nchini, Kaimu Mrajisi wa Vyama vya Ushirika nchini, Bw. Philemon Chilewa ametoa rai hiyo kwa vyama vya ushirika nchini kuendelea kutoa elimu ya ushirika kwani ni muhimu katika uendeshaji wa shughuli za chama.

Amesema kuwa elimu ya ushirika isitolewe tu kwa watendaji na viongozi wa chama bali itolewe kwa wanachama wa ushirika ili wajue uendeshaji wake na kunufaika na huduma zitolewazo na chama.

“Vyama vingi vya ushirika hapa nchini vimekufa kwa kukosa elimu ya ushirika, niwaombe sana wasimamizi wa ushirika muendelee kutoa elimu kwa wanachama”. Amesisitiza Kaimu Mrajis Chilewa.

Aidha, Kaimu Mrajis Chilewa amewaasa Magereza SACCOS pamoja na Saccos zote nchini kufanya shughuli zake kwa kufuata sheria ya ushirika pamoja na kuheshimu na kusikiliza maoni ya wanachama kwani wao ndo wenye mali.

Ameongeza kuwa kwakuwa Mkutano huo utahusisha uchaguzi wa mjumbe mmoja wa Bodi, Bw. Philemon Chilewa pia amewaasa wajumbe wa Mkutano huo kuwa makini katika uchaguzi huo kwa kuchagua mtu mwenye weledi na mwenye mapenzi ya dhati na ushiriki wao ili aweze kutimiza majukumu yanayokusudiwa.

Awali, akimkaribisha Mgeni rasmi katika Mkutano huo, Mlezi wa Magereza Saccos, ambaye ni Kamishna Jenerali wa Magereza nchini – CGP Phaustine Kasike amesema kuwa idadi ya wanachama imeongezeka hadi kufikia wanachama zaidi ya 13,000 ikiwa na mtaji wa zaidi ya bilioni 20 hivi sasa.

Pia, Mlezi wa Magereza Saccos, CGP Kasike ameongeza kuwa pamoja na changamoto za mabadiliko ya kiuchumi, kumekuwa na ushindani mkubwa wa Taasisi za kifedha katika kutoa huduma za mikopo kwa wanachama.

Chama cha Ushirikia wa Akiba na Mikopo cha Watumishi wa Jeshi la Magereza nchini kilianzishwa mwaka 2005 kwa lengo la kupunguza umasikini na kuinua hali ya maisha ya watanzania hususani watumishi wa Jeshi la Magereza.


SACOSS NCHINI ZAASWA KUENDELEA KUTOA ELIMU YA USHIRIKA KWA WANACHAMA


Na Lucas Mboje, Dodoma

VYAMA vya ushirika nchini vimetakiwa kuendelea kutoa elimu ya ushirika mara kwa mara kwa wanachama wake ili kujenga uelewa wakutosha kuhusu sheria, kanuni na masharti mbalimbali ya ushirika.

Akizungumza katika Mkutano Mkuu wa sita wa mwaka wa Chama cha Ushirikia wa Akiba na Mikopo cha Watumishi wa Jeshi la Magereza nchini, Kaimu Mrajisi wa Vyama vya Ushirika nchini, Bw. Philemon Chilewa ametoa rai hiyo kwa vyama vya ushirika nchini kuendelea kutoa elimu ya ushirika kwani ni muhimu katika uendeshaji wa shughuli za chama.

Amesema kuwa elimu ya ushirika isitolewe tu kwa watendaji na viongozi wa chama bali itolewe kwa wanachama wa ushirika ili wajue uendeshaji wake na kunufaika na huduma zitolewazo na chama.

“Vyama vingi vya ushirika hapa nchini vimekufa kwa kukosa elimu ya ushirika, niwaombe sana wasimamizi wa ushirika muendelee kutoa elimu kwa wanachama”. Amesisitiza Kaimu Mrajis Chilewa.

Aidha, Kaimu Mrajis Chilewa amewaasa Magereza SACCOS pamoja na Saccos zote nchini kufanya shughuli zake kwa kufuata sheria ya ushirika pamoja na kuheshimu na kusikiliza maoni ya wanachama kwani wao ndo wenye mali.

Ameongeza kuwa kwakuwa Mkutano huo utahusisha uchaguzi wa mjumbe mmoja wa Bodi, Bw. Philemon Chilewa pia amewaasa wajumbe wa Mkutano huo kuwa makini katika uchaguzi huo kwa kuchagua mtu mwenye weledi na mwenye mapenzi ya dhati na ushiriki wao ili aweze kutimiza majukumu yanayokusudiwa.

Awali, akimkaribisha Mgeni rasmi katika Mkutano huo, Mlezi wa Magereza Saccos, ambaye ni Kamishna Jenerali wa Magereza nchini – CGP Phaustine Kasike amesema kuwa idadi ya wanachama imeongezeka hadi kufikia wanachama zaidi ya 13,000 ikiwa na mtaji wa zaidi ya bilioni 20 hivi sasa.

Pia, Mlezi wa Magereza Saccos, CGP Kasike ameongeza kuwa pamoja na changamoto za mabadiliko ya kiuchumi, kumekuwa na ushindani mkubwa wa Taasisi za kifedha katika kutoa huduma za mikopo kwa wanachama.

Chama cha Ushirikia wa Akiba na Mikopo cha Watumishi wa Jeshi la Magereza nchini kilianzishwa mwaka 2005 kwa lengo la kupunguza umasikini na kuinua hali ya maisha ya watanzania hususani watumishi wa Jeshi la Magereza.

SACOSS NCHINI ZAASWA KUENDELEA KUTOA ELIMU YA USHIRIKA KWA WANACHAMA


Na Lucas Mboje, Dodoma

VYAMA vya ushirika nchini vimetakiwa kuendelea kutoa elimu ya ushirika mara kwa mara kwa wanachama wake ili kujenga uelewa wakutosha kuhusu sheria, kanuni na masharti mbalimbali ya ushirika.

Akizungumza katika Mkutano Mkuu wa sita wa mwaka wa Chama cha Ushirikia wa Akiba na Mikopo cha Watumishi wa Jeshi la Magereza nchini, Kaimu Mrajisi wa Vyama vya Ushirika nchini, Bw. Philemon Chilewa ametoa rai hiyo kwa vyama vya ushirika nchini kuendelea kutoa elimu ya ushirika kwani ni muhimu katika uendeshaji wa shughuli za chama.

Amesema kuwa elimu ya ushirika isitolewe tu kwa watendaji na viongozi wa chama bali itolewe kwa wanachama wa ushirika ili wajue uendeshaji wake na kunufaika na huduma zitolewazo na chama.

“Vyama vingi vya ushirika hapa nchini vimekufa kwa kukosa elimu ya ushirika, niwaombe sana wasimamizi wa ushirika muendelee kutoa elimu kwa wanachama”. Amesisitiza Kaimu Mrajis Chilewa.

Aidha, Kaimu Mrajis Chilewa amewaasa Magereza SACCOS pamoja na Saccos zote nchini kufanya shughuli zake kwa kufuata sheria ya ushirika pamoja na kuheshimu na kusikiliza maoni ya wanachama kwani wao ndo wenye mali.

Ameongeza kuwa kwakuwa Mkutano huo utahusisha uchaguzi wa mjumbe mmoja wa Bodi, Bw. Philemon Chilewa pia amewaasa wajumbe wa Mkutano huo kuwa makini katika uchaguzi huo kwa kuchagua mtu mwenye weledi na mwenye mapenzi ya dhati na ushiriki wao ili aweze kutimiza majukumu yanayokusudiwa.

Awali, akimkaribisha Mgeni rasmi katika Mkutano huo, Mlezi wa Magereza Saccos, ambaye ni Kamishna Jenerali wa Magereza nchini – CGP Phaustine Kasike amesema kuwa idadi ya wanachama imeongezeka hadi kufikia wanachama zaidi ya 13,000 ikiwa na mtaji wa zaidi ya bilioni 20 hivi sasa.

Pia, Mlezi wa Magereza Saccos, CGP Kasike ameongeza kuwa pamoja na changamoto za mabadiliko ya kiuchumi, kumekuwa na ushindani mkubwa wa Taasisi za kifedha katika kutoa huduma za mikopo kwa wanachama.

Chama cha Ushirikia wa Akiba na Mikopo cha Watumishi wa Jeshi la Magereza nchini kilianzishwa mwaka 2005 kwa lengo la kupunguza umasikini na kuinua hali ya maisha ya watanzania hususani watumishi wa Jeshi la Magereza.

SACOSS NCHINI ZAASWA KUENDELEA KUTOA ELIMU YA USHIRIKA KWA WANACHAMA


Na Lucas Mboje, Dodoma

VYAMA vya ushirika nchini vimetakiwa kuendelea kutoa elimu ya ushirika mara kwa mara kwa wanachama wake ili kujenga uelewa wakutosha kuhusu sheria, kanuni na masharti mbalimbali ya ushirika.

Akizungumza katika Mkutano Mkuu wa sita wa mwaka wa Chama cha Ushirikia wa Akiba na Mikopo cha Watumishi wa Jeshi la Magereza nchini, Kaimu Mrajisi wa Vyama vya Ushirika nchini, Bw. Philemon Chilewa ametoa rai hiyo kwa vyama vya ushirika nchini kuendelea kutoa elimu ya ushirika kwani ni muhimu katika uendeshaji wa shughuli za chama.

Amesema kuwa elimu ya ushirika isitolewe tu kwa watendaji na viongozi wa chama bali itolewe kwa wanachama wa ushirika ili wajue uendeshaji wake na kunufaika na huduma zitolewazo na chama.

“Vyama vingi vya ushirika hapa nchini vimekufa kwa kukosa elimu ya ushirika, niwaombe sana wasimamizi wa ushirika muendelee kutoa elimu kwa wanachama”. Amesisitiza Kaimu Mrajis Chilewa.

Aidha, Kaimu Mrajis Chilewa amewaasa Magereza SACCOS pamoja na Saccos zote nchini kufanya shughuli zake kwa kufuata sheria ya ushirika pamoja na kuheshimu na kusikiliza maoni ya wanachama kwani wao ndo wenye mali.

Ameongeza kuwa kwakuwa Mkutano huo utahusisha uchaguzi wa mjumbe mmoja wa Bodi, Bw. Philemon Chilewa pia amewaasa wajumbe wa Mkutano huo kuwa makini katika uchaguzi huo kwa kuchagua mtu mwenye weledi na mwenye mapenzi ya dhati na ushiriki wao ili aweze kutimiza majukumu yanayokusudiwa.

Awali, akimkaribisha Mgeni rasmi katika Mkutano huo, Mlezi wa Magereza Saccos, ambaye ni Kamishna Jenerali wa Magereza nchini – CGP Phaustine Kasike amesema kuwa idadi ya wanachama imeongezeka hadi kufikia wanachama zaidi ya 13,000 ikiwa na mtaji wa zaidi ya bilioni 20 hivi sasa.

Pia, Mlezi wa Magereza Saccos, CGP Kasike ameongeza kuwa pamoja na changamoto za mabadiliko ya kiuchumi, kumekuwa na ushindani mkubwa wa Taasisi za kifedha katika kutoa huduma za mikopo kwa wanachama.

Chama cha Ushirikia wa Akiba na Mikopo cha Watumishi wa Jeshi la Magereza nchini kilianzishwa mwaka 2005 kwa lengo la kupunguza umasikini na kuinua hali ya maisha ya watanzania hususani watumishi wa Jeshi la Magereza.

SACOSS NCHINI ZAASWA KUENDELEA KUTOA ELIMU YA USHIRIKA KWA WANACHAMA


Na Lucas Mboje, Dodoma

VYAMA vya ushirika nchini vimetakiwa kuendelea kutoa elimu ya ushirika mara kwa mara kwa wanachama wake ili kujenga uelewa wakutosha kuhusu sheria, kanuni na masharti mbalimbali ya ushirika.

Akizungumza katika Mkutano Mkuu wa sita wa mwaka wa Chama cha Ushirikia wa Akiba na Mikopo cha Watumishi wa Jeshi la Magereza nchini, Kaimu Mrajisi wa Vyama vya Ushirika nchini, Bw. Philemon Chilewa ametoa rai hiyo kwa vyama vya ushirika nchini kuendelea kutoa elimu ya ushirika kwani ni muhimu katika uendeshaji wa shughuli za chama.

Amesema kuwa elimu ya ushirika isitolewe tu kwa watendaji na viongozi wa chama bali itolewe kwa wanachama wa ushirika ili wajue uendeshaji wake na kunufaika na huduma zitolewazo na chama.

“Vyama vingi vya ushirika hapa nchini vimekufa kwa kukosa elimu ya ushirika, niwaombe sana wasimamizi wa ushirika muendelee kutoa elimu kwa wanachama”. Amesisitiza Kaimu Mrajis Chilewa.

Aidha, Kaimu Mrajis Chilewa amewaasa Magereza SACCOS pamoja na Saccos zote nchini kufanya shughuli zake kwa kufuata sheria ya ushirika pamoja na kuheshimu na kusikiliza maoni ya wanachama kwani wao ndo wenye mali.

Ameongeza kuwa kwakuwa Mkutano huo utahusisha uchaguzi wa mjumbe mmoja wa Bodi, Bw. Philemon Chilewa pia amewaasa wajumbe wa Mkutano huo kuwa makini katika uchaguzi huo kwa kuchagua mtu mwenye weledi na mwenye mapenzi ya dhati na ushiriki wao ili aweze kutimiza majukumu yanayokusudiwa.

Awali, akimkaribisha Mgeni rasmi katika Mkutano huo, Mlezi wa Magereza Saccos, ambaye ni Kamishna Jenerali wa Magereza nchini – CGP Phaustine Kasike amesema kuwa idadi ya wanachama imeongezeka hadi kufikia wanachama zaidi ya 13,000 ikiwa na mtaji wa zaidi ya bilioni 20 hivi sasa.

Pia, Mlezi wa Magereza Saccos, CGP Kasike ameongeza kuwa pamoja na changamoto za mabadiliko ya kiuchumi, kumekuwa na ushindani mkubwa wa Taasisi za kifedha katika kutoa huduma za mikopo kwa wanachama.

Chama cha Ushirikia wa Akiba na Mikopo cha Watumishi wa Jeshi la Magereza nchini kilianzishwa mwaka 2005 kwa lengo la kupunguza umasikini na kuinua hali ya maisha ya watanzania hususani watumishi wa Jeshi la Magereza.

SACOSS NCHINI ZAASWA KUENDELEA KUTOA ELIMU YA USHIRIKA KWA WANACHAMA


Na Lucas Mboje, Dodoma

VYAMA vya ushirika nchini vimetakiwa kuendelea kutoa elimu ya ushirika mara kwa mara kwa wanachama wake ili kujenga uelewa wakutosha kuhusu sheria, kanuni na masharti mbalimbali ya ushirika.

Akizungumza katika Mkutano Mkuu wa sita wa mwaka wa Chama cha Ushirikia wa Akiba na Mikopo cha Watumishi wa Jeshi la Magereza nchini, Kaimu Mrajisi wa Vyama vya Ushirika nchini, Bw. Philemon Chilewa ametoa rai hiyo kwa vyama vya ushirika nchini kuendelea kutoa elimu ya ushirika kwani ni muhimu katika uendeshaji wa shughuli za chama.

Amesema kuwa elimu ya ushirika isitolewe tu kwa watendaji na viongozi wa chama bali itolewe kwa wanachama wa ushirika ili wajue uendeshaji wake na kunufaika na huduma zitolewazo na chama.

“Vyama vingi vya ushirika hapa nchini vimekufa kwa kukosa elimu ya ushirika, niwaombe sana wasimamizi wa ushirika muendelee kutoa elimu kwa wanachama”. Amesisitiza Kaimu Mrajis Chilewa.

Aidha, Kaimu Mrajis Chilewa amewaasa Magereza SACCOS pamoja na Saccos zote nchini kufanya shughuli zake kwa kufuata sheria ya ushirika pamoja na kuheshimu na kusikiliza maoni ya wanachama kwani wao ndo wenye mali.

Ameongeza kuwa kwakuwa Mkutano huo utahusisha uchaguzi wa mjumbe mmoja wa Bodi, Bw. Philemon Chilewa pia amewaasa wajumbe wa Mkutano huo kuwa makini katika uchaguzi huo kwa kuchagua mtu mwenye weledi na mwenye mapenzi ya dhati na ushiriki wao ili aweze kutimiza majukumu yanayokusudiwa.

Awali, akimkaribisha Mgeni rasmi katika Mkutano huo, Mlezi wa Magereza Saccos, ambaye ni Kamishna Jenerali wa Magereza nchini – CGP Phaustine Kasike amesema kuwa idadi ya wanachama imeongezeka hadi kufikia wanachama zaidi ya 13,000 ikiwa na mtaji wa zaidi ya bilioni 20 hivi sasa.

Pia, Mlezi wa Magereza Saccos, CGP Kasike ameongeza kuwa pamoja na changamoto za mabadiliko ya kiuchumi, kumekuwa na ushindani mkubwa wa Taasisi za kifedha katika kutoa huduma za mikopo kwa wanachama.

Chama cha Ushirikia wa Akiba na Mikopo cha Watumishi wa Jeshi la Magereza nchini kilianzishwa mwaka 2005 kwa lengo la kupunguza umasikini na kuinua hali ya maisha ya watanzania hususani watumishi wa Jeshi la Magereza.

SACOSS NCHINI ZAASWA KUENDELEA KUTOA ELIMU YA USHIRIKA KWA WANACHAMA


Na Lucas Mboje, Dodoma

VYAMA vya ushirika nchini vimetakiwa kuendelea kutoa elimu ya ushirika mara kwa mara kwa wanachama wake ili kujenga uelewa wakutosha kuhusu sheria, kanuni na masharti mbalimbali ya ushirika.

Akizungumza katika Mkutano Mkuu wa sita wa mwaka wa Chama cha Ushirikia wa Akiba na Mikopo cha Watumishi wa Jeshi la Magereza nchini, Kaimu Mrajisi wa Vyama vya Ushirika nchini, Bw. Philemon Chilewa ametoa rai hiyo kwa vyama vya ushirika nchini kuendelea kutoa elimu ya ushirika kwani ni muhimu katika uendeshaji wa shughuli za chama.

Amesema kuwa elimu ya ushirika isitolewe tu kwa watendaji na viongozi wa chama bali itolewe kwa wanachama wa ushirika ili wajue uendeshaji wake na kunufaika na huduma zitolewazo na chama.

“Vyama vingi vya ushirika hapa nchini vimekufa kwa kukosa elimu ya ushirika, niwaombe sana wasimamizi wa ushirika muendelee kutoa elimu kwa wanachama”. Amesisitiza Kaimu Mrajis Chilewa.

Aidha, Kaimu Mrajis Chilewa amewaasa Magereza SACCOS pamoja na Saccos zote nchini kufanya shughuli zake kwa kufuata sheria ya ushirika pamoja na kuheshimu na kusikiliza maoni ya wanachama kwani wao ndo wenye mali.

Ameongeza kuwa kwakuwa Mkutano huo utahusisha uchaguzi wa mjumbe mmoja wa Bodi, Bw. Philemon Chilewa pia amewaasa wajumbe wa Mkutano huo kuwa makini katika uchaguzi huo kwa kuchagua mtu mwenye weledi na mwenye mapenzi ya dhati na ushiriki wao ili aweze kutimiza majukumu yanayokusudiwa.

Awali, akimkaribisha Mgeni rasmi katika Mkutano huo, Mlezi wa Magereza Saccos, ambaye ni Kamishna Jenerali wa Magereza nchini – CGP Phaustine Kasike amesema kuwa idadi ya wanachama imeongezeka hadi kufikia wanachama zaidi ya 13,000 ikiwa na mtaji wa zaidi ya bilioni 20 hivi sasa.

Pia, Mlezi wa Magereza Saccos, CGP Kasike ameongeza kuwa pamoja na changamoto za mabadiliko ya kiuchumi, kumekuwa na ushindani mkubwa wa Taasisi za kifedha katika kutoa huduma za mikopo kwa wanachama.

Chama cha Ushirikia wa Akiba na Mikopo cha Watumishi wa Jeshi la Magereza nchini kilianzishwa mwaka 2005 kwa lengo la kupunguza umasikini na kuinua hali ya maisha ya watanzania hususani watumishi wa Jeshi la Magereza.

Monday, October 15, 2018

MAADHIMISHO YA MIAKA 19 YA KIFO CHA BABA WA TAIFA, HAYATI MWL JULIUS K. NYERERE


Tuesday, October 9, 2018

KATIBU MKUU WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI AFUNGUA KIKAO CHA BAJETI YA SHIRIKA LA MAGEREZA KWA MWAKA WA FEDHA 2018/2019 MKOANI MOROGORO

Kamishna Jenerali wa Magereza Phaustine Kasike akisalimiana na Kamishna wa Utawala Gaston Sanga pamoja na viongozi waandamizi wa Jeshi la Magereza alipowasili katika  Ukumbi wa Mikutano wa Mwamvita  Mkoani Mororgoro tarehe 9 Oktoba 2018.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Meja Jenerali Jacob Gideon Kingu akisalimiana na Kamishna Jenerali wa Magereza Phaustine Kasike alipowasili katika Ukumbi wa Mikutano wa Mwamvita Mkoani Mororgoro.

Mdhibiti Mkuu wa Shirika la Magereza,Naibu Kamishna  Afwilile Mwakijungu akitoa maelezo mafupi kuhusu Shirirka kabla ya mgeni rasmi kukaribishwa kufungua kikao.

Kamishna Jenerali wa Magereza Phaustine Kasike akitoa maelezo mafupi kabla ya kukmkaribisha Katibu Mkuu wa Mambo ya Ndani ya Nchi Meja Jenerali Jacob Gideon Kingu kufungua kikao.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Meja Jenerali Jacob Gideon Kingu akisisitiza jambo kwa Wakuu wa Mikoa ya Kimagereza, Wakuu wa Magereza na Wakuu wa Miradi mbalimbali ambayo iko chini ya Shirika la Magereza, kabla ya ufunguzi rasmi wa Kikao.

  Wakuu wa Magereza na Wakuu wa Miradi mbalimbali ambayo iko chini ya Shirika la Magereza wakiwa kwenye picha ya pamoja na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi pamoja na viongozi wakuu wa Jeshi la Magereza nchini.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Meja Jenerali Jacob Gideon Kingu (katikati waliokaa) akiwa kwenye picha ya pamoja na viongozi wa juu wa Jeshi la Magereza Tanzania Bara. Kulia kwa katibu mkuu ni Kamishna Jenerali Kasike, Kamishna wa Sheria na Utawala wa Magereza Uwesu Ngarama na Kamishna wa Miundo Mbinu na Uzalishaji Tusekile Mwaisabila. Kushoto kwa Katibu Mkuu ni Kamishna wa Utawa na Rasilimali watu Gaston Sanga, Kamishna wa Fedha na Mipango Gideon Nkana na Kamishna wa Huduma za Parol,Viwanda,Huduma za Jamii na Program za Urekebishaji Augustine Mboje.Waliosimama ni Manaibu Kamishna.