Tuesday, December 18, 2018

MAGEREZA SACCOS YATAO MAFUNZO KWA MAAFISA WAANDAMISHI WA JESHI LA MAGEREZA TAREHE 16 DEC,2018

Kamishna Jenerali wa Magereza Phaustine Kasike ambaye pia ni mlezi wa Magereza Saccos akisalimiana na Makamishna wa Magereza  mara alipowasili katika viwanja vya Chuo cha Mipango Dodoma kwa ajili ya mafunzo ya Ushirika yaliyoandaliwa na Chama cha Akiba na Mikopo cha Magereza (Magereza Saccos) kwa maafisa waandamizi  kutoka Makao Makuu ya Jeshi hilo pamoja na Wakuu wa Magereza wa mikoa yote ya kiutawala yaliyofanyika Desemba 16, 2018.

Baadhi ya Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Magereza wakimpokea Kamishna Jenerali wa Magereza Phaustine Kasike (hayupo pichani) alipowasili katika ukumbi wa  mikutano katika chuo cha mipango Dodoma kwa ajili ya mafunzo ya Ushirika yaliyoandaliwa na Chama cha Akiba na Mikopo cha Magereza (Magereza Saccos) kwa maafisa waandamizi  kutoka Makao Makuu ya Jeshi hilo pamoja na Wakuu wa Magereza wa mikoa yote ya kiutawala yaliyofanyika  Desemba 16, 2018.
Kamishna Jenerali wa Magereza Phaustine Kasike (katikati) akiwa meza kuu na Makamishna wa Magereza pamoja Mwenyekiti wa Bodi ya Magereza Saccos  Kamishna wa Fedha na Utawala wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mbaraka Semwanza ambaye hivi karibuni aliteuliwa kushika wadhifa huo akitokea Jeshi la Magereza.
Mwenyekiti wa Bodi ya Magereza Saccos  Kamishna wa Fedha na Utawala wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mbaraka Zemwanza akitoa mada katika ya mafunzo ya Ushirika yaliyoandaliwa na Chama cha Akiba na Mikopo cha Magereza (Magereza Saccos) kwa maafisa waandamizi  kutoka Makao Makuu ya Jeshi hilo pamoja na Wakuu wa Magereza wa mikoa yote ya kiutawala yaliyofanyika  Desemba 16, 2018.
Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Magereza (SACP) Ramadhan Nyamka  akichangia hoja katika  ya mafunzo ya Ushirika yaliyoandaliwa na Chama cha Akiba na Mikopo cha Magereza (Magereza Saccos) kwa maafisa waandamizi  kutoka Makao Makuu ya Jeshi hilo pamoja na Wakuu wa Magereza wa mikoa yote ya kiutawala yaliyofanyika Desemba 16, 2018.

Kamishna Msaidizi wa Magereza (ACP) Hasseid Mkwanda  akichangia hoja katika  ya mafunzo ya Ushirika yaliyoandaliwa na Chama cha Akiba na Mikopo cha Magereza (Magereza Saccos) kwa maafisa waandamizi  kutoka Makao Makuu ya Jeshi hilo pamoja na Wakuu wa Magereza wa mikoa yote ya kiutawala yaliyofanyika Desemba 16, 2018.
Baadhi ya Washiriki wa mafunzo Ushirika yaliyoandaliwa na Chama cha Akiba na Mikopo cha Magereza (Magereza Saccos) kwa maafisa waandamizi  kutoka Makao Makuu ya Jeshi hilo pamoja na Wakuu wa Magereza wa mikoa yote ya kiutawala yaliyofanyika  Desemba 16, 2018.(Picha zote na Jeshi la Magereza)