Kamishna wa Magereza wa Zambia Percy K. Chato akitoa neno la shukrani na kuwaaga maafisa na watumishi wa Jeshi la Magereza Tanzania (hawapo pichani) katika hafla fupi iliyoandaliwa maalum kwa ajili yake katika Bustani ya Bwalo Kuu Ukonga, Dar es salaam, Februari 13,2014 (Picha zote Insp. Deodatus Kazinja, wa Jeshi la Magereza)