Sunday, February 23, 2014

Kamishna wa Magereza Nchini Zambia atembelea Magereza Tanzania


Kamishna wa Magereza nchini Zambia Percy Chato (mwenye suti) akipokea salaam ya heshima kutoka kwa Paredi maalum (halipo pichani) lililoandaliwa maalum kwa jairi yake katika uwanja wa paredi wa Chuo Cha Maafisa wa Magereza Ukonga.Nyuma yake ni Kamishna wa Sheria na Uendeshaji wa Magereza nchini Dkt Juma Ali Malewa na mwenye nguo za kijani ni Kaimu Mkuu wa Chuo Kamishna Msaidizi wa Magereza Erasmus Kundi. Kamishna wa Magereza nchini Zambia Percy Chato (mwenye suti)