Tuesday, February 7, 2017

RAIS MAGUFULI AMUAPISHA MKUU MPYA WA JESHI LA MAGEREZA NCHINI KAMISHNA JENERALI DKT. JUMA ALLI MALEWA

Mkuu Mpya wa Jeshi la Magereza nchini, Kamishna Jenerali Dkt.Juma Alli Malewa akila kiapo mbele ya Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt. John Pombe Magufuli Ikulu Jijini Dar es Salaam februari 6, 2017.
Mkuu Mpya wa Jeshi la Magereza nchini, Kamishna Jenerali Dkt.Juma Alli Malewa akipokea miongozo na vitendea kazi kutoka kwa Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa hafla ya kuapishwa Ikulu Jijini Dar es Salaam februari 6, 2017.
Kamishna wa Fedha na Utawala wa Jeshi la Magereza, Gaston Sanga(wa kwanza kushoto walioketi) akiwa na Maafisa Waandamizi wa Magereza wakifuatilia hafla ya hafla ya kuapishwa Ikulu Jijini Dar es Salaam februari 6, 2017

(Picha zote na Lucas Mboje wa Jeshi la Magereza).