Friday, June 26, 2015

Taarifa kwa vyombo vya habari

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete.

Tarehe 27 Juni, 2015 saa 2:00 asubuhi, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete anatarajia kufunga Mafunzo ya Uofisa Ngazi ya Juu Chuo cha Maafisa Magereza Ukonga, Dar es Salaam.

Bofya hapa kupata taarifa kamili